TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha anapenda kuwatangazia Watanzania wote wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuomba kazi ya Udereva Daraja la II
1. DEREVA II NAFASI 8;
1.1 Sifa za Mwombaji;
1.2. Mshahara;
Ngazi ya mshahara ni TGSB,yaani Tsh 390,000 kwa mwezi.
1.3 Kazi na Majukumu;
2. MASHARTI YA JUMLA;
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30/11/2018.
Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu uliowasilishwa hapo juu “HAYATAFIKIRIWA”
Waombaji waambatanisha nakala za vyeti vifuatavyo;
MAOMBI YOTE YATUMWE KWA NJIA YA POSTA KWA:
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA,
S.L.P. 2330
ARUSHA
Anastazia Tutuba
KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI (W)
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.