• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC KIMANTA ATETA NA WATUMISHI ARUSHA DC

Posted on: July 17th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.

      Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta amewataka watumishi wa halmashauri ya Arusha kusimamia fedha zinazoletwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo.

        Mkuu huyo wa mkoa ameyasema hayo, wakati alipofanya kikao kazi na watumishi wa halmashauri ya Arusha, mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni kikao chake cha kwanza na watumishi wa halmashuri hiyo tangu alipoteuliwa na mheshimiwa Rais, kikao kilichofanyika kwenye, ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.

      Amesema kuwa, Serikali imekuwa ikileta fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, hivyo ni jukumu la watendaji wote wa serikali, kuisimamia miradi hiyo kwa weledi pamoja na kusimamia matumizi sahihi ya fedha za miradi hiyo, kwa kuzingatia kanuni na taratibu za matumizi ya fedha za Umma.

       “Simamieni utekelezaji wa miradi, simamieni matumizi ya fedha zote za miradi ya maendeleo, hakikisheni miradi hiyo inatekelezeka kwa wakati na kukamilika ikiwa na ulinganifu wa ubora na  thamani ya fedha kwa mmaendeleo ya wananchi katika maeneo yenu”. Amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

     Aidha, amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kufanya kazi kwa amani, upendo na kwa kushirikiana, kwa kuwa kila mmoja ana mchango wa kumuinua mwenzake katika utumishi wa Umma.

    Nae, Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule, amekiri kupokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi  hasa katika usimamizi wa miradi yote ya maendeleo  kwa manufaa ya Umma.    

       Mkurugenzi huyo amefafanua kuwa, watumishi wa halmashauri hiyo, wako tayari kutekeleza majukumu yao, kwa mujibu wa sheria na taratibu za utumishi wa Umma, na kuongeza kuwa atawasimamia stahiki za watumishi hao, ili waelekeze nguvu zao katika kuwatumikia wananchi.

         Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya watumishi wote, Afisa Maendeleo ya Jamii halmashauri ya Arusha, Angela Mvaa amesema, wamefarijika sana kupokea maelekezo, kutoka kwa Mkuu wa Mkoa, maelekezo yaliyojaa hekima na busara nyingi, na  wapo tayari kuyafanyia kazi, kwa maslahi ya wananchi wa halmshauri hiyo na taifa kwa ujumla.

             Awali Mkuu huyo wa Mkoa amekutana na kuzungumza na watumishi hao, lengo likiwa kufahamiana na kupeana maelekezo ya namna ya kutekeleza majukumu yao katika utumishi wao wa Umma.











Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.