• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Rais Magufuli kuhutubia wananchi wa Arumeru kesho

Posted on: December 1st, 2018

Mkuu wa mkoa wa Arusha, mheshimiwa Mrisho Gambo anapenda kuwajulisha wananchi wa wilaya ya Arumeru kuwa, kutakua na ugeni wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli katika Halmashauri ya Arusha, wilayani Arumeru, kesho Jumapili tarehe 02.12 2018 kwenye kata ya Kimnyaki.

Akiwa katika kata ya Kimnyaki, Mheshimiwa Rais, ataweka Jiwe la Msingi kwenye ujenzi wa Visima vya Maji, Visima ambavyo ni vyanzo vya mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha (AUWSA)  wenye thamani ya shilingi bilioni 520, mradi unaotarajiwa kupunguza  tatizo la  maji katika Jiji la Arusha pamoja na maeneo ya jirani ya wilaya ya Arumeru ambako ndiko kwenye chanzo kikuu cha maji.

Mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi huo wa Visima vya Maji, Mheshimiwa Rais, atazungumza na wananchi wilaya ya Arumeru kwenye mkutano wa hadhara, utakaofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Olimringaringa.

Katika ziara hiyo Mheshimiwa Rais ataambatana na viongozi mbalimbali wa Serikali.

Wananchi wote mnaombwa kuhudhuria, kwenye Mkutano huo wa hadhara na kumsikiliza Rais wenu wa Serikali ya awamu ya tano, Serikali inayowajali wananchi.

MUDA: KUANZIA SAA MBILI KAMILI ASUBUHI

                               'HAPA KAZI TUU - TUNATEKELEZA'




Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • Orodha ya majina ya walioitwa kwenye Usahili siku ya Ijumaa tarehe 20/04/2018. April 13, 2018
  • Matokeo ya usaili wa kuandika, nafasi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Arusha DC April 20, 2018
  • Zoezi la uandikishaji vitambulisho vya Taifa- NIDA kata ya Kiranyi April 20, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • *YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA PILI

    February 19, 2019
  • Waziri Lugola akumbusha Jeshi la Polisi Arusha DC matumizi sahihi ya sheria

    February 16, 2019
  • *YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA KUWASILISHA TAARIFA ZA KATA ROBO YA PILI, OKTOBA MPAKA DISEMBA 2018*

    February 15, 2019
  • *YALIYOJIRI ZIARA YA KATIBU MWENEZI CCM TAIFA - ARUSHA DC

    February 14, 2019
  • Tazama zote

Video

JPM aagiza watalamu wa Ardhi kuanzia ngazi ya halmashauri kusimamiwa na Wizara
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.