• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Muonekano mpya wa kituo cha afya Nduruma, kuelekea kuanza kutumika kwa majengo mapya

Posted on: April 15th, 2018

Huu ndio muonekano mpya wa Kituo cha Afya Nduruma mara baada ya zoezi la upanuzi na ujenzi wa miundombinu ya kituo hicho kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95% kuelekea kuanza kutumika kwa majeno mapya kwa kutoa huduma kwa wagonjwa.     

Ujenzi wa miundombinu hiyo umegharimu kiasi cha shilingi milioni 500 fedha zilizotolewa na serikali, mwishoni mwa mwaka 2017, kufuatia adhma ya serikali ya awamu ya tano ya kuboresha miundombinu kwenye vituo vya afya na hospitali.  

Aidha kiasi hicho cha fedha, kimetumika kujenga majengo mapya katika kituo hicho ikiwemo maabara, jengo la upasuaji, wodi ya mama na mtoto ' martenity ward' jengo la kujifadhia maiti, kichomea taka, vibaraza 'walk ways', nyumba ya mganga pamoja na umaliziaji wa jengo la Kliniki ya mama na mtoti na ushauri nasaha 'CTC'. 

Kwa kipindi kifupi serikali ya awamu ya tano, imeweza kuongeza bajeti ya dawa kutoka bilioni 31 mpaka bilioni 269 ili kuhakikisha dawa zinapatikana pamoja na kukarabati vituo vya afya 205 ikiwemo kituo cha afya Nduruma.

Upanuzi na uboreshaji wa vituo vya afya unategemewa kutoa matibabu muhimu kwa wananchi katika maeneo wanayoishi, pamoja na kutoa huduma za uzazi kwa kina mama wajawazoto na kupunguza vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Matangazo

  • Orodha ya majina ya walioitwa kwenye Usahili siku ya Ijumaa tarehe 20/04/2018. April 13, 2018
  • Matokeo ya usaili wa kuandika, nafasi ya Afisa Mtendaji wa Kijiji Arusha DC April 20, 2018
  • Mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 April 17, 2018
  • Marudio ya Uchaguzi wa Diwani kata ya Musa November 26, 2017
  • Tazama zote

Habari mpya

  • Arusha DC yatoa tahadhari ya ugonjwa wa Kipindupindu

    April 21, 2018
  • Mitihani ya muhula kufanyika kimkoa Arusha

    April 20, 2018
  • Arusha DC yajipanga kuboresha uzalishaji wa ng'ombe bora wa maziwa

    April 18, 2018
  • Timu ya Ukaguzi ya Mkoa wa Arusha yakagua miradi ya maendeleo Arusha DC

    April 16, 2018
  • Tazama zote

Video

Hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli - Mererani.
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.