• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASANII WA VICHEKESHO ARUSHA WAIBUKA NA KAMPENI YA CHANGIA DAMU NA KATARINA WA KARATU KUOKOA MAISHA YA WAGONJWA ARUSHA DC

Posted on: February 21st, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Wasanii wa vichekesho mkoa wa Arusha, wameanza kampeni ya kuchangia damu kwa hiari, ikiwa ni Kampeni ya kudumu ya Changia damu kwa hiari, inayokwenda kwa jina la 'Changia Damu na Katarina wa Karatu', kampeni iliyoanza rasmi mwisho ni mwa mwaka 2020, ikiwa na lengo la kuhamasisha wananchi kuchangia damu kwa hiari.

Wakizungumza wakati wa zoezi la kuchangia damu, lilifanyika katika zahanati ya Ester, iliyoko eneo la Ngaramtoni, halmashauri ya Arusha, wasanii hao wamesema kuwa, lengo lao kubwa kama wasanii ni kuhamasisha jamii kushiriki kuchangia damu kwa hiari, damu itakayotumika kwenye hospitali ya wilaya ya Arusham hospitali ya Olturumet.

Rose Urio maarufu kama Katarina wa Karatu (Rose Urio) na Mwenyekiti  wa Kampeni hiyo, ameweka wazi kuwa wao, licha ya kuwa wanajikita kwenye kuburudisha jamii, wameamua kutumianfursa hiyo kuhamasisha jamii kushiriki uchangiaji wa damu kwa hiari, ilimkuokoa maisha ya watanzania wagonjwa wenye uhitaji wa damu.

"Tumeanza kampeni hii mwezi Novemba 2020, ambapo tunahamasisha uchangiaji wa damu kwa ajili ya hospitali zetu za wilaya, na tunafanya zoezi hili kila baada ya miezi 4, mwezi Novemba tulikuwa eneo la Meru kwa ajili ya hospitali ya Nkoarangara, na leo tuko hapa Ngaramtoni kwa ajaili ya hospitali ya wilaya ya Olturumet, tunashukuru wananchi wamejitokeza na tunaendelea kuaisistiza wqnanchi kujenga tabia ya kuchangia damu kwa hiari" amesema Katarina wa Karatu.

Naye mratibu wa zoezi la uchangiaji damu kwa hiari la Changia Damu na Katarina wa Karatu,  na Afisa Mtendaji kata ya Kisongo, John Nkini, amewapongeza wasanii hao kwa kujitoa kwa ajili ya afya na uhai wa watanzania, kwa kuwa kuna uhitaji mkubwa wa damu katika hospitali zetu za wilaya, kwa kufanya hivyo kutaokoa maisha ya wananchi wengi hasa wasio na na kuwataka wasanii wengine kujitokeza kusaidia jamii, kama kurejesha sehemu ya mapato yao kama fadhilamkwa jamii 'corprate social responsibilti  CSR'

Afisa Ustawi wa Jamii, halmashauri ya Arsuha, Beatrice Tengi, amesema kuwa,  halmashauri imeweka utaratibu wa jamii kushiriki mara kwa mara kuchangia damu kwa hiari, hivyo jamii inatakiwa kutambua umuhimu wa uchangiaji wa damu kwa hiari ili kusaidia wagonjwa wanohitaji damu kwa dharura, na kutaja makundi ya wagonjwa yanayohiyaji damu mara kwa mara ni pamoja na wagonjwa wa kansa, selimundu pamoja na kinamama wajawazito na watoto.

Mratibu wa Maabara, halmashauri ya Arusha, Tatu Galingulwa amesema kuwa, halamshauri ya Arusha inahitaji damu kiasi cha Uniti 110 mpaka 120 kwa mwezi, kwa ajili ay hospitali za wilaya ya Olturumet, Seliani, Kivulininna kituo cha Afya Nduruma.

Aidha Mratibu huyo amehimiza watu kujitokeza kuchangia damu kwa hiari huku akisistiza kwamba, kiafya Mwanaumme ana uwezo wa kuchangia kila baada ya mezi 3 yaani mara 4 kwa mwaka, na mwanamke anauwezo wa kuchangia damu mara tatu kwa mwaka na kila baada ya miezi 4.

Awali Kampeni ya Changia Damu na Katarina wa Karatu, imejumuisha wasanii wa vichekesho Arusha, akiwemo Katarina wa Karatu, Mama Nairo, Masai mmbeya, imefanikiwa kukusanya Uniti 27 za damu, ambazo zitatumika kwenye banki ya halmashauri hospitali ya wilaya ya Olturumet na kugawanywa kwenye hospitali nyingine kwa kadiri ya uhitaji.








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.