• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CHUKUA TAHADHARI: USIANZE UJEZI BILA KUWA NA KIBALI CHA UJENZI:

Posted on: March 4th, 2021

Na. Elinipa Lupembe

JE UNAFAHAMU KIBALI CHA UJENZI?

Kibali cha ujenzi ni Moja ya kanuni muhimu sana ya upangaji wa miji nchini Tanzania. Kila anayetaka kujenga nyumba anapaswa kufuata kanuni za ujenzi katika kibali cha ujenzi atakachopewa, mara nyingi kwa mujibu wa Sheria kibali cha ujenzi hutolewa na Mamlaka za Serikali ambazo ni halmashauri kupitia  Idara ya Ardhi na Mipango Miji, Idara ya Ujenzi  na Idara ya Mazingira.

UTARATIBU WA UTOAJI WA VIBALI VYA UJENZI.

Kibali cha Ujenzi ni kibali kinachotolewa na Halmashauri chini ya Sheria ndogo za Udhibiti wa ujenzi holela mijini na ambacho kitamruhusu mwananchi afanye ujenzi au ukarabati wa jengo.

UMUHIMU WA KUPATA KIBALI CHA UJENZI

•Kutimiza matakwa ya kanuni za ujenzi mijini•Kuwezesha kujenga majengo na nyumba kama yalivyoelekezwa katika mipango miji ya sehemu husika•Kudhibiti ujenzi holela

TARATIBU & KANUNI ZA UTOAJI WA VIBALI VYA UJENZI.

Kuwasilisha michoro iliyokamilika na kujaza fomu inayotolewa na Halmashauri. Report submitted for Approval (RPA)”. Fomu hii imegawanyika katika sehemu tano (5), zinazohusisha wataalamu wafuatao

•Mkaguzi wa Majengo (Building Inspector)

Afisa Ardhi (Land Officer)

*Mpima (Land Surveyor)•Afisa Mipango Miji (Town Planning Officer)

•Afisa Afya (Health and Sanitation Officer)Kuwasilisha michoro iliyokamilika na kujaza fomu inayotolewa na Halmashauri Fomu itaambatanishwa na michoro iliyokamilika yaani “Architectural & Structural Drawings” na kupita kwa wataalamu wote watano (5) kama ilivyoonyeshwa hapo juu kwa ajili ya uhakiki kama ifuatavyo.

Mkaguzi wa Majengo (Building Inspector) – kuona kama michoro inakidhi haja ya kiufundi na specifications.Afisa Ardhi (Land Officer) – kuona kama umiliki wa eneo linaloendeleza ni halali, kukagua hati miliki, nk.Mpima wa Jiji (Land Surveyor) – kutambua mipaka halali

Afisa Mipango Miji wa Jiji (Town Planning Officer) – Kuona kama ujenzi unaoombewa ni sahihi kwa mujibu wa michoro ya mipango miji.

Afisa Afya (Health and Sanitation Officer) – kuona kama usafi kwa ujumla na maji taka yatatunzwa vyemaKama michoro na nyaraka za umiliki zimekidhi vigezo zitawasilishwa kwenye kamati ya mipango miji na utoaji vibali vya ujenzi.

Baada ya michoro na nyaraka kupita katika kamati ya mipango miji na utoaji vibali itapigiwa makadirio na mwombaji atapaswa kulipia gharama husika kwenye akaunti ya Halmashauri atakayopewa.Mwombaji ataandaliwa kibali cha ujenzi kinachosainiwa na Mhandisi wa Ujenzi na Afisa Mipango Miji wa Halmashauri.

MUDA WA UPATIKANAJI WA KIBALI CHA UJENZI

*Endapo mwombaji atakamilisha hatua zote muhimu kwa wakati atapata kibali cha ujenzi ndani ya majuma mawili (2) hadi manne (4)•Hii ni pamoja na uwasilishaji wa ramani zilizoidhinishwa na wataalamu husika na hati za umiliki zilizo sahihi.

WAJIBU WA MWANANCHI

•Ni wajibu wa kila mwananchi kujenga au kukarabati nyumba yake iliyo ndani ya mji/jiji kwa kibali kutoka Halmashauri.

TAHADHARI.

•Endapo mwananchi yeyote atajenga nyumba bila ya kupata kibali cha ujenzi toka Halmashauri, atapewa HATI ya kusimamisha ujenzi au ukarabati na kushauriwa kufuata taratibu za kuomba kibali cha ujenzi ndani ya siku saba (7)

•Kama mwombaji atakaidi AMRI ya kusimamisha, jiji au mji litampa ilani ya kubomoa jengo lake mwenyewe na akishindwa jiji litabomoa jengo husika na kudai mmiliki gharama za utekelezaji wa ubomoaji.


KABLA YA KUQNZA UJENZI, FIKA OFISI ZA HALAMSHAURI YA ARUSHA ENEO LA SEKEI KUPATA KIBALA CHA UJENZI.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • KINGA TIBA YA KICHOCHO NA MINYOO YA TUMBO KWA WATOTO MIAKA 5-14 March 02, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • HONGERA RAIS WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN

    March 19, 2021
  • BURIANI RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI 1959 - 2021

    March 18, 2021
  • TANZIA. Dr ELISA PALLANGYO - MKUU WA SHULE YA SEKONDARI MLANGARINI AFARIKI DUNIA.

    March 10, 2021
  • CHUKUA TAHADHARI: USIANZE UJEZI BILA KUWA NA KIBALI CHA UJENZI:

    March 04, 2021
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ampokea Balozi wa Japani nchini Tanzania, Balozi Shinichi Goto
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.