• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC AHAIDI KUDUMISHA USHIRIKIANO NA BENKI YA NMB

Posted on: February 15th, 2021

Na .Elinipa Lupembe.

Timu ya watalamu wa Benki ya NMB Arusha, wamemtembelea Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Arusha, na kufanya mazungumzo ya kina juu ya ushirikiano wa Benki hiyo na halmashuri ya Arusha, ikiwa ni utekelezaji wa mipango ya serikali ya awamu ya tano ya kusogez huduma wananchi katika maeneneo yao ili kuharakisha maendeleo  yao na taifa kwa ujumla.

Watalamu hao wakiongozwa na Meneja wa Banki ya NMB tawi la Clock Tower la Jijini Arusha, Emmanuel Kishosha, amesema kuwa NMB benk, imepanga kudumisha ushirikiano na halmashauri hiyo, hasa katika masuala ya kibenki pamoja na masuala mengine ya kijamii yahusuyo mambo ya kifedha.

Hata hivyo watalamu hao wa NMB walimkabidhi zawadi za Kalenda na 'note book' kwa mkurungenzi mtendaji wa halamshauri hiyo, ikiwa ni ishara ya kudumisha ushirikiano uliopo baina ya Benki hiyo na halmashauri katika kuwahudumia wananchi wa hali zote.

Naye Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule, licha ya kuwashukuru watalamu wa Benki hiyo ya NMB, ameahidi kuendelea kudumisha ushirikiano uliopo baina ya Benki hiyo, benki inayowahudumia wananchi wa halmashauri hiyo hasa kwa kusogeza huduma karibu na wananchi mpaka katika maeneo ya pembezoni kwa gharama ambazo wananchi wanazimudu.

"Ninaishukuru benki ya NMB, licha ya kwamba sisi ni wateja wenu, lakini pia mmekuwa wadau wetu wa kubwa katika shughuli mbalimbali za maendeleo katika halmashauri yetu, kila tunapowahitaji mmekuwa wepesi kujitokeza, mmekuwa mkitoa huduma za kibenki kwa wanachi wetu hadi latika maeneo ya pembezoni, jambo ambalo linaharakisha upatikanaji wa huduma na kuchochea maendeleo ya kiuchumimna kijamii' amethibitisha Mkurugenzi Mtambule






Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI WA NAFASI ZA UDEREVA TAREHE 28/12/2018 December 19, 2018
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UNYONYESHAJI DUNIANI TAREHE 1-7, AGOSTI 2020. July 31, 2020
  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI 2O20/2021 TAREHE 29.01.2021 January 29, 2021
  • Orodha ya majina ya walioitwa kwenye Usahili siku ya Ijumaa tarehe 20/04/2018. April 13, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BI. ANGELA MVAA AWA RAIS WA CHAMA CHA WATALAMU WA MAENDELEO YA JAMII TANZANIA -CODEPATA

    February 28, 2021
  • MADIWANI ARUSHA DC, WAIDHINISHA BILIONI 57.1 KUTUMIKA MWAKA UJAO WA FEDHA 2021/2022

    February 25, 2021
  • WAMILIKI WA ARDHI KIJIJI CHA KISERIANI WAPAGAWA NA URASIMISHAJI.

    February 25, 2021
  • ARUSHA DC YATEKELEZA ZAIDI YA ASILIMIA 80 YA BAJETI ILIYOIDHINISHWA KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

    February 24, 2021
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ampokea Balozi wa Japani nchini Tanzania, Balozi Shinichi Goto
Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.